NORWAY YAIPATIA TANZANIA DOLA 1O.5 ZA KIMAREKANI

Norway yaipatia Tanzania Dola Milioni 10 Nukta 5 za Kimarekani

Bunge la Tanzania limesoma miswada mitatu inayohusu rasilimali za maliasili za nchi Sirro:
Ushirikiano wa dhati baina ya wananchi na dola unahitajika kukomesha mauaji Pwani.

Taifa Stars kumenyana na Afrika Kusini katika robo fainali ya COSAFA

Ujerumani na Chile zatinga fainali ya michuano ya kombe la mabara

Posted : July 02, 2017 (today) By Costamalimbwi

Norway yaipatia Tanzania Dola Milioni 10 Nukta 5 za Kimarekani

Rais John Magufuli alipokutna na Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway,-Borge Brende  akiwa na  Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania Dr. Augustine Mahiga na wengine ni maafisa wa Serikali ya Norway.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway,-Borge Brende amemhakikishia Rais John Magufuli kuwa nchi yake itaendeleza na kuimarisha uhusiano na ushirikiano wake na Tanzania hususani katika kuboresha huduma za kijamii na uwekezaji katika miradi mikubwa ya maendeleo.

Brende ametoa dola za kimarekani milioni 10.5 kutekeleza awamu ya tano ya mpango wa kuboresha mamlaka ya mapato nchini -TRA unaotarajia kuanza Julai mosi mwaka huu. Waziri huyo wa Mambo ya Nje wa Norway hakusita kumpongeza Rais Magufili juhudi anazozifanya katika kupambana na rushwa, kukabiliana na matumizi mabaya ya ofisi za umma na kusimamia vizuri uchumi na shughuli za maendeleo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

UFUGAJI WA NGURUWE

DALILI ZA KUMJUA RAFIKI AMBAYE NI MSALITI

NJIA 5 ZINAZOMUONYESHA MUME AU MKE ASIYEFAA